BAN KI MOON AMUAGA DL. ASHA-ROSE MIGIRO

Friday, June 29, 2012

IDADI YA WATU WALIOSOMA HABARI HII: counter
 
 Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa akiwa na Mkewe, anayefuatia ni Naibu Katibu Mkuu, Dkt. Asha-Rose Migiro akiwa na Mumewe,  Profesa Cleophas Migiro wakisubiri kusalimiana na wageni waalikwa wakati wa hafla ambayo Ban Ki  Moon aliandaa maalum kwajili ya kumuaga msaidizi wake wa Karibu. 
 Waalikwa wakijichanganya ukumbini wakati wa sherehe hiyo
 Profesa Migiro akiwa na Bint yake, Chansa- Jasmin wakifuatilia hafla hiyo kwa makini
� t n a �/� �� :p>
 Ban Ki Moon akizungumza wakati wa hafla hiyo ambapo amempogeza na kushukurusu sana Migiro kwa namna alivyokuwa mshauri wake na mwalimu wake ambaye a anasema kwa  ualimu wake anampa alama ya plus plus plus. akatumia hafla hiyo kutangaza kwamba anamteua   Dkt. Asha- Rose Migiro kuwa mjumbe wake maalum katika  masuala ya ukimwi na ugonjwa wa ukimwi   Barani  Afrika. Migiro anaondoka  baada ya kuutumikia Umoja wa  Mataifa kwa miaka mitano na nusu.
 Dkt. Asha-Rose Migiro akizungumza wakati wa hafla hiyo, akatoa shukrani zake kwa  Ban ki Moon kwa kumpatia heshima hiyo ya kihistoria ambayo haita kaa ifutike na kwamba  ameupokea uteuzi huo kwa mikoni miwili na hasa kutokana na kwamba tatizo la ugonjwa wa ukimwi ni tatizo ambalo analichukulia kwa uzito wa aina yake.

 Na Chiaziiiiiiiiiiiiiiiii iligongeshwa, Katibu Mkuu akitakiana kila la kheri na Naibu  Katibu Mkuu, Dkt. -Asha Rose Migiro, kulia ni Mkurugenzi wa Ofisi ya Naibu Katibu Mkuu, Bw. Anyanga. 

 Bi Amina Mtengeti  akinywa kinywaji chake baada ya kigongeshana chiaziiiiii na Katibu Mkuu  Ban Ki Moon 
 Dk. Migiro akibadilishana mawazo na Dk. Ki-Moon

Hata kupiga picha naweza. Naibu Katibu Mkuu akinyaka  tukio hili la picha wakati Katibu Mkuu Ban Ki Moon akizungumza na Bint wa mwisho wa Migiro Chansa Jasmin

0 comments:

Post a Comment